Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Anayejua wanapouzwa kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla kwaajili ya ufugaji anijuze. Nahitaji kuku kama 30-50 hivi nianze ufugaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko Mvuti karibu na Chanika.Unapatikana wap nichek 0746696878
nina majogoo 10 ya kienyeji nauza elfu 25 mmoja, nipo Dar es salaamAnayejua wanapouzwa kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla kwaajili ya ufugaji anijuze. Nahitaji kuku kama 30-50 hivi nianze ufugaji.
Sasa majogoo 10 kwa 250000 nitayafanyia nini?nina majogoo 10 ya kienyeji nauza elfu 25 mmoja, nipo Dar es salaam
hata ukihitaji mmoja natoa, ni kwamba ninao 10 ninaotaka uza kwa sasaSasa majogoo 10 kwa 250000 nitayafanyia nini?
Labda ingekuwa makoo tungeongea