Nahitaji Kuku wa kienyeji pure wakubwa

Nahitaji Kuku wa kienyeji pure wakubwa

BabuLeo

Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
29
Reaction score
13
Habari nina tafuta kuku wa kienyeji pure kwa ajli ya kufuga wale mbegu kubwa. Nipo Dar es salaam kwa alyenao tuwasiliane.
 
Njia nzur ni kuwatembekea wafugaji wewe mwenyewe. Pli wasiliana na madali wanaozunguka vijijini, wale wanajua wapi kuna mbegu unayoitaka.
Singida ndi mzalishaji mkuu wa kuku wakubwa wa asili. Hivyo wasiliana na wadau waliosingida.
 
Back
Top Bottom