Madhara yapo mengi mno,na madhara hayo yamegawanyika ktk makundi mawili!
1.madhara ya kiafya,kuna uwezekano mkubwa sn wa kupata maambukizi kwa nyote yaan mfanyaji na mfanywaji!
Anus haijaumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo,hivyo,wanaokitumia kiungo hicho wanalazimisha tu,na wanawake wengi wanaoingiliwa kinyume hupata matatizo wkt wa kujifungua!
2.madhara ya kiroho,
kitendo cha kulawiti ni kitendo chenye kumchukiza mungu kupita maelezo,mungu ameiumba njia hiyo kwa ajili ya kupitisha haja kubwa na sio kufanyia sex,ww ukiitumia kwa ajili ya sex,unamkosoa mungu kwa uumbaji wake!
Ukirejea zama za nabii Lutwi ,umma wake wote uliangamizwa kwa gharka kutokana na kufanya kitendo hicho (sodoma na gomora)!!
Kwanini uache kusex kwa kutumia njia special yenye "natural lubricants"ambazo zinakuwezeshen kulifaidi tendo na badala yake utumie sehem ambayo ina kinyesi na uchafu?????
Ebu tuache kuiga hawa washenzi wanaoigiza mapicha ya porn,najua kupitia mapicha hayo vijana wengi sikuiz wametokea kupenda kulawitiana kwa kuona ndio ujanja and modernity kumbe ni kujitafutia laana tu za muumba!!
Acha kabisa!!!!!!,kulaawiti(kula tigo) ni laana!!......