Nahitaji kumpa mimba anayetaka mimba ili afute machozi

Nahitaji kumpa mimba anayetaka mimba ili afute machozi

niceone

Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
49
Reaction score
4
Habari wana Jf,

Ni kweli yawezekana kukushangaza ila kila mtu aonavyo. Na kutoa msaada na ushirikiano kwa mtu si lazima pesa tu hapana bali kile unachoona kile chaweza msaidia katika maisha yake. Katika kuwaza kwangu najua kuna wanawake au wanandoa ambao muda mrefu kilio chao ni mtoto na imefika mahali unakata tamaa na wengine mmeachana kabisa bila suruhu.

Hivyo basi nimekuja kwako eewe mwenye uhitaji si kwamba nauza noo ila nimeona nitoe kama watoavyo wengine mimi sijui ila nahitaji mwanamke siyo wanawake ila mwanamke. ambaye atakuwa tayari kuheshimu hisia zangu nami nifanye jambo la kumpa hiyo mimba.

Jamani hapa si maombi ila maombi yatafanyika na kitendo kikiendelea maana imani bila matendo imepotea. kuhusu kulea atalea mwenyewe na kama kuishi ataishi na mimi kwa taratibu zitakazo kubalika mimi langu ni kusababisha mtoto tu naamini inawezekana utakavyosema sema ila haja ya moyo wangu nitakuwa nimetoa na kumsaidia mmoja aliyeteseka kwa muda mrefu.

0752 923662 karibu
 
Kama uko dar nenda sudan, kama uko moro nenda kaumba kama uko mwanza nenda vitungu na kama uko arusha nenda mlina wapo
 
Khaaaa, lala ukiamka anza tena kuandika cos sijaelewa
 
Duuu itakuwa umepita kona bar akili za usiku hakuna lengine
 
Dogo, acha kuchemka, weka vitu straight. Unaandika kwa hisia zaidi kuliko kuzingatia kuufikisha ujumbe ulioukusudia.
 
Back
Top Bottom