Naombeni mniambie walau lugalo,ifakara au kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike |tafadhali madaktari,wauguzi wafanyakazi wa kawaida,wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze.