Nahitaji kumroga mtu, aliyenipiga mbele ya mke wangu

hahaa Akili za cc watzi jamanii,umetisha mkuu.ko kakupasua na ngumi mbele ya wife na watoto
 
Najivunia wanangu kutambua kwamba baba yao ni from kanda maalum, bahati njema ni kumbe hata wao hua wanajitambia kila walipo kwamba wao ni from Mara
bhita ni bhita tata mura mbane! huyu murisia kanikosea heshima sana na sihitaji kuharibu mda wangu kumshtaki pia sihitaji kurisk maisha yangu kwa kum attack ila nataka kumkomesha juu kwa juu
 
Huna haja ya kumua nenda hapo Tanga kwa Mzee mmoja anaitwa Shehanga anampiga kipapai cha jini anakuwa bwabwa... anabadili na jina anaitwa anti... unakuwa unapishana nae kanyuka zake wanja kiblause na sikuna anakurembulia unampa shit. Hapo ni kisasi komesha. Kuna mmoja alijitia kula hela ya husler sasa havi anaitwa Ant Masawe.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] muuwe
 
We mjinga Sana huna kitu kichwani that way umepigwa ngumi yaani unawaza uchawi karne hii 21 badala ya kumtegemea Mungu what fucking life unaishi!?
We mwenyewe ungekuwa unaishi kama unavyomtaka mwenzio aishi usingetukana namna hiyo boss hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…