Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
Karibuni wanajamii forum.
Kisa ndo hicho chini ya picha.
Kisa ndo hicho chini ya picha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wakurya tukitoa Mahari, tunatoa Mahari inayonunua Mke na watoto wake.
Kua makini kuchezea familia za watu.
Yaani nimemlea tangu ananyonya hukuwahi kutokea, nikampeleka shule wewe
Mkuu, kumlea kwako tangu ananyonya, ndiyo kunakufanya uwe Baba Mzazi wa Mtoto?!!Yaani nimemlea tangu ananyonya hukuwahi kutokea, nikampeleka shule wewe
uko mafichoni leo ameanza kazi ndiyo unaleta pua zako? Haki ya nani lazima nikufir.....
Unajua matoto hayo huwa yanasemaje?Mkuu, kumlea kwako tangu ananyonya, ndiyo kunakufanya uwe Baba Mzazi wa Mtoto?!!
Baba Mzazi ni mmoja tuu siku zote, hana mbadala. Na damu ni nzito kuliko Maji.
Wewe mama ipo shida uliyonayo, yeye sio mjinga kiasi hicho.