not true depending na mwaka toleo hilo limeaanza 2008-2016 so kwa la mwaka huo wa 2008 kwa TRA kodi wanachukua mil 7.3 plus CIF had port yaweza kuwa 3200$Yap million 26
1. ushuru za per tra calculator ni tsh. 4,677,978. Link: Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
Umemaanisha mfano ukiwa n.a. 6m cash unaagiza hadi inakufikia mkononi1. ushuru za per tra calculator ni tsh. 4,677,978. Link: Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
2. Gharama za wakala wa meli (shipping line) ni $75 (Delivery Order fee, sumatra charges, car service charges) VAT included.
3. Wharfage charges, ambayo kwa sasa TRA wanaikusanya kwa niaba ya Bandari $52
4. TPA handling charges $85
5. Mwisho mkuu ni gharama zetu za uwakala (agency fee) tsh. 200,000.
Karibu sana mkuu, tunapatikana kwa anuani ifuatayo;
S.A Link Traders Ltd.
2nd Floor-Elite City building (Opposite Harbor View),
Samora Avenue/Morogoro Road,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email: info@salink.co.tz
Mob: +255718 866 651 ( Call or Whatsapp ),
Our Website: www.salink.co.tz
Facebook page: S.A LINK Traders LTD
Yaah mkuu, ukiondoa gharama za ununuzi wa gari (CIF value) 6m inatosha na chenji inabaki.Umemaanisha mfano ukiwa n.a. 6m cash unaagiza hadi inakufikia mkononi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huelewi maana ya New model na New Car Kila kipindi Fulani watengenezaji hutoa toleo jipya lenye features flani mpya mfano ukisema Rav4 kuanzia za 2000 ni New model.Gari ya 2007 unaiita new model 2017 Watanzania tumerogwa na nani?
Shida ukiingiza Tanzania kodi kubwa so itenda Bei juu.Brand New kutokea Zambia? Hatari sana
Ni new model za kibongo bongo hizo sio za Ma-mbele.Wewe huelewi maana ya New model na New Car Kila kipindi Fulani watengenezaji hutoa toleo jipya lenye features flani mpya mfano ukisema Rav4 kuanzia za 2000 ni New model.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia ndogo sana wenye uwezo wa kunuua New car kwa watanzania wengi tunacheza na used.Ni new model za kibongo bongo hizo sio za Ma-mbele.
New model ni newa model Hata iwe japani naikawaTanzania ni new model specification ni the same.Ni new model za kibongo bongo hizo sio za Ma-mbele.
Unless useme hakuna latest models zilizotengenezwa hapo miaka ya katikati(yaani yenyewe ndio iwe last model kutengenezwa kwny version hio ya gari) lkn kama zipo haiwezekani gari ya huko 2000's iitwe new model wkt kuna model za 2018 huko.New model ni newa model Hata iwe japani naikawaTanzania ni new model specification ni the same.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa kinachozungumzwa nimekwambia RAv4 ya 1999 ipo kwenye kundi la Old model na The same Rav4 ya 2000 ni new model ya 2008 say bado ipo kwenye kundi la new model tofauti inakuwa ni Year of Manufacturing.Unless useme hakuna latest models zilizotengenezwa hapo miaka ya katikati(yaani yenyewe ndio iwe last model kutengenezwa kwny version hio ya gari) lkn kama zipo haiwezekani gari ya huko 2000's iitwe new model wkt kuna model za 2018 huko.
NEVER,ONLY IN TZ.
Labda huko kwenu Koromije ndio mnaiita hivyo.Huwezi kuelewa kinachozungumzwa nimekwambia RAv4 ya 1999 ipo kwenye kundi la Old model na The same Rav4 ya 2000 ni new model ya 2008 say bado ipo kwenye kundi la new model tofauti inakuwa ni Year of Manufacturing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bwana wewe usiyetoka Kolomije.Labda huko kwenu Koromije ndio mnaiita hivyo.
Unajifanya libishi mtu anakupa facts.Labda huko kwenu Koromije ndio mnaiita hivyo.