Hizi haziendani kabisa na machaguo yake. Mtu yupo kijijini unadiriki kumtajia Subaru?? Mafundi wa Subaru wapo Mjini pekee, spare mjini na ni ghali; Premio inafaa kwa mtu aliyeko nusu lami na nusu rafu road ila kwa rafu road muda wote sishauri sanaSema bajeti yako na unataka kwa matumizi gani na pia jaribu pia kufutilia premio na subaru Forester nazo ni gari nzuri
Hawa ndio wanaotaka gari kwa kusema nataka namba D au E.Machaguo yako yanaonesha kabisa hauna specific options maana ayo magari ni tofauti san.
Fanya hivi:
1. Unataka gari kwa matumizi gani,?
2. Bajeti.
3. Import, yard au kwa mtu?
4. Upo wapi?
5. Una chombo kingine cha usafiri?
6. Kwa siku utakua unatumia kilometa ngapi on average?
Hapana bana, premio nina uzoefu nazo bana halafu subaru Forester ziko vizuri sema sio nzuri sana kwenye rough road na mafundi hawazijulii ila huku Jamiiiforums tusiwe watu wa kupinga tuu bila hoja sasa mawazo yako ni yapiHizi haziendani kabisa na machaguo yake. Mtu yupo kijijini unadiriki kumtajia Subaru?? Mafundi wa Subaru wapo Mjini pekee, spare mjini tu, na ni fupi (ground clearance); Premio haifai kwa rafu road muda wote
Nasubiri aseme anahitaji gari kwa matumizi gani ili tuweze kumshauri vizuri ILA kwa hayo machaguo yakeHapana bana premio ninauzoefu nazo bana halafu subaru Forester ziko vizuri sema sio nzuri sana kwenye rough road na mafundi awazijulii ila huku jamiii forum tusiwe watu wakupinga tuu bila hoja sasa mawazo yako ni yapi
Hamna gari ya rough road kati ya hizo ulizotajaAina ya gari ninalotaka iwe noah old au rav 4 old, au suzuki Escudo.
Naomba kujua ipi inafaa kwenye rough road sana. Na ipi ni nzuri kati manual na automatic.
Hizi haziendani kabisa na machaguo yake. Mtu yupo kijijini unadiriki kumtajia Subaru?? Mafundi wa Subaru wapo Mjini pekee, spare mjini tu, na ni fupi (ground clearance); Premio haifai kwa rafu road muda wote
Noah SR40 au Toure the best optionAina ya gari ninalotaka iwe noah old au rav 4 old, au suzuki Escudo.
Naomba kujua ipi inafaa kwenye rough road sana. Na ipi ni nzuri kati manual na automatic.
Mkuu ni kubeba familia tu ndio matumizi makubwa. Na safari za km 80 mara mojamojaMachaguo yako yanaonesha kabisa hauna specific options maana ayo magari ni tofauti san.
Fanya hivi:
1. Unataka gari kwa matumizi gani,?
2. Bajeti.
3. Import, yard au kwa mtu?
4. Upo wapi?
5. Una chombo kingine cha usafiri?
6. Kwa siku utakua unatumia kilometa ngapi on average?
Kwa bei hiyo utapata vitz used
Tatizo bei yake inalingana na AlphardHivi Rumion zimeishia wapi? Siku hizi sisikii kabisa raia wakizipigia promo humu [emoji23][emoji23][emoji23]
Huku mgololo tunatumia premio ni nzuri kwa barabara zisizo za lami
Habari yako... Nmeona umepost jamii forum unaomb ushauri juu ya kununua gari... Mm ni agent nafanya Clearing bandarin karibu 0764423726Aina ya gari ninalotaka iwe noah old au rav 4 old, au suzuki Escudo.
Naomba kujua ipi inafaa kwenye rough road sana. Na ipi ni nzuri kati manual na automatic.