Nimeshanunua magari matatu kutoka tradecar view. Na lingine nimelitoa mwezi huu wa kwanza. Na sijaona tatizo lolote, ninyi kama mnaogopa kulipa paytrade, halafu mkaibiwa msilazimishe ionekane kampuni nzima ina shida. Kwa upande wa bei, zipo sawasawa kabisa. CIF 1900 ni cheap. Inategemeana pia gari imetembea km ngapi. Mimi nimeagiza Suzuki carry kwa CIF 2600 hadi Dar, but ilikuwa na milege ya 20000.