Nahitaji kununuwa kuku wa kienyeji na bata, nipo Kigamboni

Nahitaji kununuwa kuku wa kienyeji na bata, nipo Kigamboni

RamsoMaya

Member
Joined
Mar 24, 2023
Posts
42
Reaction score
44
Habari za leo waungwana.

Ninashida ya vifaranga wa kuku wa kienyeji na bata, wakiwa chotara ni vizuri zaidi, kuanziya mwezi mmoja.

Napatikana: 0689360264
 
Back
Top Bottom