Nahitaji kuongeza uzito wa mwili na kutibu

Nahitaji kuongeza uzito wa mwili na kutibu

mbalisana

Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
46
Reaction score
42
Ninatatizo la kuumwa kichwa hasa ninapokuwa na matatizo ya kifamilia, shule n.k.

Tatizo linazidi kadri siku zinavyoenda naweza nikaumwa hata wiki dawa za kutuliza maumivu wakati mwingine hazinisaidii. Nikipima hospitali wanakosa ugojwa mpaka imefika kama nikiumwa kichwa wakati ndani kunamatatizo nashidwa kumwambia mume wangu mpaka agundue mwenywe maana yeye anaamini najiendekeza kufikiria matatizo.

Pia napungua sana uzito nahitaji kuongeza uzito wa mwili maana nakosa raha nina kg chache sana Kuna siku ilibidi nikapima mpaka HIV bahati nzuri nikakutwa salama, urefu wangu ni cm 161 na uzito wa mwil iwangu mpaka jana ni kg46 . naomba msaada nifanye nini?
 
Pole sana.......punguza mawazo shoga, matatizo yetu sote na si kila kinachokuumiza kichwa una suluhisho lake
jitahidi kula vizuri, kunywa maji ya kutosha, pata muda wa kupumzika tafuta amani ya moyo wako utaona unabadilika
 
Ni kweli uzito wa mwili unatakiwa uendane na mwili wenyewe. Unashauriwa kama una uzito sana ufanye juu chini kuupunguza na kama uzito upo chini kuendana na kimo ufanye juu chini kuongeza pia.

Hiyo itafanya mwili kuwa na afya nzuri inayotakiwa. Mimi ninafahamu lishe nzuri sana kwa ajili ya kuongeza/kupunguza uzito ambayo imeandaliwa kiasilia kwa ajili ya afya. ukiihitaji tunaweza kuwasiliana kwa email:healthwealthfirst@gmail.com
 
Back
Top Bottom