Nahitaji kupanga au kukodi sehemu yanye mabanda ya kuku

Nahitaji kupanga au kukodi sehemu yanye mabanda ya kuku

Cards Fantasy

Senior Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
192
Reaction score
111
Habari za leo ndugu zangu.

Nahitaji eneo lenye miundombinu ya mabanda ya kufugia kuku nikodi/ nipange kwa maelewano na mwenye eneo husika.

Likipatikana eneo lenye uzio nje ya Mji itapendeza sana. kwa Mikoa ya Dar, Pwani hadi Morogoro.

Ikiwa ulikuwa na project ya ufugaji na sasa umesimama na miundombinu ipo nitashukuru tukiwasiliana.

Pia kwa mfugaji mwenza atayependa kufuga au kurudi kwenye ufugaji tunaweza share baadhi ya mambo pamoja.

Nipo Dar es Saalam.
Call/Text/WhatsApp 0784 645 900.
 
Habari za leo ndugu zangu.

Nahitaji eneo lenye miundombinu ya mabanda ya kufugia kuku nikodi/ nipange kwa maelewano na mwenye eneo husika.

Likipatikana eneo lenye uzio nje ya Mji itapendeza sana. kwa Mikoa ya Dar, Pwani hadi Morogoro.

Ikiwa ulikuwa na project ya ufugaji na sasa umesimama na miundombinu ipo nitashukuru tukiwasiliana.

Pia kwa mfugaji mwenza atayependa kufuga au kurudi kwenye ufugaji tunaweza share baadhi ya mambo pamoja.

Nipo Dar es Saalam.
Call/Text/WhatsApp 0784 645 900.
Upo Dar maeneo gani???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom