Nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki

Nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki

fedrick philbarth

New Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Poleni na kazi wakuu,

Mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji basi mimi niko tayari.

Napatikana
Dar.
 
Back
Top Bottom