Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo shamba au hicho kiwanja lazima kwanza ujiridhishe kuwa una hati miliki ya wizara ya ardhi! na sio tuNapenda kuwasalimu nyote katika jukwaa hili la mambo muhimu!
Ningependa kujua kama kuna mtu anayejua bank ambayo inaweza kutoa mkopo kwa dhamana ya shamba la miti au kiwanja na conditions ambazo zinahitajika kuweza kupata huo mkopo
So ukiwa na hiyo Hati naweza chukua mkopo??? Conditions ni zipi? Kuna limitation ya kiwango cha kukopa???Hilo shamba au hicho kiwanja lazima kwanza ujiridhishe kuwa una hati miliki ya wizara ya ardhi! na sio tu
umemilikishwa na aliekuuzia kupitia mjumbe wa serikali ya mtaa au kijiji.