Wapendwa nahitaji mawazo yenu ya busara tafadhari, je mil. 3 ukiipata leo unaweza unaweza kuifanyia nini??
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako mzuri...Hivi matikiti maji yanalimwa sana wapi maeneo ya Dar na Pwani??
Nenda morogoro vijijini, shamba wanauza laki moja kwa eka. nunua eka tano kisha kafanye kilimo cha matikiti maji, kifahamu zaidi kuhusu kilimo hicho pitia uzi mmoja hapo juu wa "kilimo cha matikiti maji"