Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Habari wanajamvi
Niliamua kununua mojawapo ya furniture iliyokuwa inauzwa sh.laki8 ila nilimpa muuzaji sh.laki4, na tulikubaliana amalize kuitengeneza kisha nitamalizia pesa. Na risiti ninayo na ina condition kuwa mali ikiuzwa hairudishwi ila mimi bado sijanunua
Sasa,nimehamia mbali na nilimwomba anirudishie pesa na akakubali ila naona sasa ananidhulumu kwani umepita muda sasa ananichenga tu, nataka anilipe pesa yangu kisheria. Je nianzie wapi?
Naomba msaada.
Niliamua kununua mojawapo ya furniture iliyokuwa inauzwa sh.laki8 ila nilimpa muuzaji sh.laki4, na tulikubaliana amalize kuitengeneza kisha nitamalizia pesa. Na risiti ninayo na ina condition kuwa mali ikiuzwa hairudishwi ila mimi bado sijanunua
Sasa,nimehamia mbali na nilimwomba anirudishie pesa na akakubali ila naona sasa ananidhulumu kwani umepita muda sasa ananichenga tu, nataka anilipe pesa yangu kisheria. Je nianzie wapi?
Naomba msaada.