Unaweza soma kozi ngazi ya degree au diploma, kutegemeana na uwepo wa nafasi cha kufanya jiandae kutuma maombi mara baada ya muda muafaka kufika.nadhani ni baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka huu.
maombi hufanyika kwa njia ya mtandao kupitia tovuti hizi zifuatazo:-WWW.NACTE.GO.TZ au Home - Tanzania Commission for Universities. Hivyo basi keep on visiting these website frequently, to see up-to-date status.