Nahitaji Kusoma Masters ya Project Management au Diploma ya Finance and Accounting

Nahitaji Kusoma Masters ya Project Management au Diploma ya Finance and Accounting

Alfred

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2008
Posts
2,093
Reaction score
2,843
Habari za siku nyingi kidogo, ni muda sasa kutokana na majukumu ya hapa na pale sikuweza kuleta hata uzi mmoja hapa JF!

Wanajamii, kama Heading inavyosema nina mawazo mawili kinzana katika kuongeza elimu.

Kwa kuanzia kabisa mie nina Bachelor ya Civil Engineering ambapo nafanya kazi kwa mkataba katika taasisi moja ya serikali, Kwa sasa nahitaji nisome kati ya Dip ya Finance/accounting au Masters ya Project management vyote kutoka Open University!


Nahitaji Ushauri wenu niende na kipi hapo?

maoni yote yatakuwa equally respected!

Alfred
 
Habari za siku nyingi kidogo, ni muda sasa kutokana na majukumu ya hapa na pale sikuweza kuleta hata uzi mmoja hapa JF!

Wanajamii, kama Heading inavyosema nina mawazo mawili kinzana katika kuongeza elimu.

Kwa kuanzia kabisa mie nina Bachelor ya Civil Engineering ambapo nafanya kazi kwa mkataba katika taasisi moja ya serikali, Kwa sasa nahitaji nisome kati ya Dip ya Finance/accounting au Masters ya Project management vyote kutoka Open University!


Nahitaji Ushauri wenu niende na kipi hapo?

maoni yote yatakuwa equally respected!

Alfred
Unataka kusoma hizo kozi ili iweje?
Unataka kubadilisha majukumu, kupanda cheo au kusaka ajira mpya?

Binafsi sikushauri usome kozi yoyote katika hizo (maana hakuna kipya utavuna in terms of ajira) unless iwe ni msukumo wa mwajiri wako wa sasa.
 
Unataka kusoma hizo kozi ili iweje?
Unataka kubadilisha majukumu, kupanda cheo au kusaka ajira mpya?

Binafsi sikushauri usome kozi yoyote katika hizo (maana hakuna kipya utavuna in terms of ajira) unless iwe ni msukumo wa mwajiri wako wa sasa.
Asante kwa mawazo mkuu, kwa background yangu ya elimu especially bachelor unaona kozi gani ni poa nisome
 
Back
Top Bottom