Mimi ni kijana mwenye uwezo wa kuandika vitabu vya stori na vingine vya nafunzo. Kikubwa nakosa sapoti kutoka kwa watu wenye uwezo na wenye kunipa mchango wa kimawazo.
Nahitaji mchango wenu wakimawazo na hata kama kunamtu anapublish vitabu anipe sapoti kwani naweza