Nahitaji kuwa bwana Kilimo, nijikite kwenye masomo gani?

Nahitaji kuwa bwana Kilimo, nijikite kwenye masomo gani?

petermbilinyi

New Member
Joined
Jun 20, 2020
Posts
4
Reaction score
2
Jamani mimi niko Kidato cha Nne lakini nahitaji kuwa bwana kilimo sijui ni kwenye masomo gani amboyo naweza kujikita zaidi ili niweze kutimiza ndoto.
 
Faulu vzur..masomo yote..hususani ya sayansi..baada ya hapo unaweza endelea na advance level..au ukaingia vyuo vya kilimo kwa ngazi ya Diploma ili utimize ndoto yako..cha msingi kwa sasa ni kusoma na kufaulu vizuri...kilimo kiwe passion yako toka moyoni kabisa...hakika utafanikiwa.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Kama lengo ni uje uajiriwe, soma afya. Kama ni kujiajiri, soma kilimo. Usijesema hukulijua hili. Kilimo wamejazana mtaani hadi huruma. Mfano hai: Utumishi wametoa nafasi 2 za ajira za kilimo, wameitwa interview watu 300 wakati afya zikitoka ni nafasi za kumwaga mpaka 1000 huko
 
Ila kma akijizatiti katik kilimo atatoka kuzid hata hao wa afya
Kama lengo ni uje uajiriwe, soma afya. Kama ni kujiajiri, soma kilimo. Usijesema hukulijua hili. Kilimo wamejazana mtaani hadi huruma. Mfano hai: Utumishi wametoa nafasi 2 za ajira za kilimo, wameitwa interview watu 300 wakati afya zikitoka ni nafasi za kumwaga mpaka 1000 huko
 
Faulu vzur..masomo yote..hususani ya sayansi..baada ya hapo unaweza endelea na advance level..au ukaingia vyuo vya kilimo kwa ngazi ya Diploma ili utimize ndoto yako..cha msingi kwa sasa ni kusoma na kufaulu vizuri...kilimo kiwe passion yako toka moyoni kabisa...hakika utafanikiwa.

#MaendeleoHayanaChama.
Nashukuru Sana kwa ushauli wako
 
Kama lengo ni uje uajiriwe, soma afya. Kama ni kujiajiri, soma kilimo. Usijesema hukulijua hili. Kilimo wamejazana mtaani hadi huruma. Mfano hai: Utumishi wametoa nafasi 2 za ajira za kilimo, wameitwa interview watu 300 wakati afya zikitoka ni nafasi za kumwaga mpaka 1000 huko
Sawa nimekuelewa
 
Uhusika wa taaluma ya kilimo nje ya wenye huo utaalam kwa kiasi Fulani Kuna ukakasi wa utambuzi wa unyambulifu wake;-
Mfn: anayeitwa Bwana kilimo huku mtaani, kitaaluma ni extension officer au agriculture officer.

kwakimsingi kilimo ni sayansi hivyo utahitaji kufaulu sayansi:-
Ukifaulu
pcm unaweza soma
- Agriculture engineering
- Agriculture economics

PCB
- Biotechnology
- Food science
- Agriculture general
- Agriculture Extension

Eisee ebu ingia website ya sua utapata Kila kitu huko .... kutype nikiwa bar napoteza mingo ya kulewa
 
Kama lengo ni uje uajiriwe, soma afya. Kama ni kujiajiri, soma kilimo. Usijesema hukulijua hili. Kilimo wamejazana mtaani hadi huruma. Mfano hai: Utumishi wametoa nafasi 2 za ajira za kilimo, wameitwa interview watu 300 wakati afya zikitoka ni nafasi za kumwaga mpaka 1000 huko
Hizi dhana ni potofu sana, mafanikio siku zote huja kwa kupenda unachofanya. Wangapi wamesoma afya still ajira zikitoka wanakosa? Swala la ajira limekuwa changamoto kwa kila nyanja.

Lakini tusisahau kila mja na mapito yake, hivyo si vyema kuishi kwa mazoea au kukariri maisha.
 
Back
Top Bottom