Nahitaji kuwa na blog kama njia ya kujiajiri

SHAIDI

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
291
Reaction score
141
Wana jf naamini akuna linaloshindikana humu ndani, nahitaji kuwa na blog kama njia ya kujiajiri nahiatji kujua machache toka kwenu wapendwa, tofauti na computer na access ya mtandao ni jitiada gan mimi nitatakiwa kufanya ili nifanikiwe ideas nimepata blog i deal na nini? na nani anaweza kunisaidia kwa ushauri au kwa kuanzisha.

pia nina shughuri ambayo sio rasmi naifanya wakati wa mchana kwa wiki nzima, shughul hii ya blog inahitaj more time?
natanguliza shukrani
 
jaman sitaki kuamin kama kwel siwezi kupata maelez kidog kuhusu hili jaman nawategemea kwa hili hata kama kuna mtu ataitaj malipo kidogo niko tayar
 
Blogging lazima uwe na kitu cha kuelezea ambacho kitakuwa updated daily ili watu watembelee kwa wingi, kuwa mbunifu na uwe na uelewa sahihi wa kitu unachotaka kuongelea. Kuna free blog ownership na ya kulipia. Anza na ya free ikikua utahamia ya kulipia. Jaribu blogger au wordpress
 
jaman sitaki kuamin kama kwel siwezi kupata maelez kidog kuhusu hili jaman nawategemea kwa hili hata kama kuna mtu ataitaj malipo kidogo niko tayar

wasiliana na tzbloggers@gmail.com watakusaidia mno. au ni pm namba yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…