Nahitaji kuwa na vigezo gani ili niwe Dalali?

Nahitaji kuwa na vigezo gani ili niwe Dalali?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Nauliza ni qualities/ujuzi upi unafaa sana ili uweze kuwa dalali?

Nimeona kwa sasa ndio kazi kubwa inayofanyika hata wale Watunga Sera tuliowachagua warekebishe mambo na kuweka vitu sawa ili tupate ajira zenye ujira wamekuwa ni madalali (Wao hawafanyi bali kutafuta mtu wa kufanya)

Kwahio sababu hio ndio kazi KUU, ni vema tukajua ni sifa zipi zinatakiwa ili tuweze kuchagua madalali wa kesho waweze kufanya kazi hio kwa Umakini.

Lakini najiuliza mali hizi zote tukishazi-dalalia then what ?

Tutabadilisha kazi ?
 
Nauliza ni qualities / ujuzi upi unafaa sana ili uweze kuwa dalali; Nimeona kwa sasa ndio kazi kubwa inayofanyika..., hata wale watunga Sera tuliowachagua warekebishe mambo na kuweka vitu sawa ili tupate ajira zenye ujira wamekuwa ni madalali (wao hawafanyi bali kutafuta mtu wa kufanya)

Kwahio sababu hio ndio kazi KUU, ni vema tukajua ni sifa zipi zinatakiwa ili tuweze kuchagua madalali wa kesho waweze kufanya kazi hio kwa Umakini...., Lakini najiuliza mali hizi zote tukishazi-dalalia then what ? Tutabadilisha kazi ?
"Uwe na maneno mengi tu ya utapeli ndani yake "
 
Nadhani pia ni muhimu kula na wengine yaani ukila 10% chawa wachache uwapo 0.5% ili waendelee kukutetea, au kama vipi hata tshirt, ubwabwa na khanga za hapa na pale
 
IMG_9830.jpg
 
Back
Top Bottom