Little Dreamer
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 180
- 162
Habari waku, mimi ni kijana nnayejihusisha na ufundi wa magari kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa, napatikana Arusha mjini.
Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya diagnosis kutoka China Aina ya Launch X431 V+ na nikaanza kazi ya diagnosis kama extra coz bado nipo nafanya kazi chini ya fundi.
Katika ufanyaji kazi wangu kuna mahala nakutana na changamoto ambazo inakuwa ni ngumu sana kuzitatua na Kuna muda makosa mtu wa kunielekeza kwa usahihi (ukizingatia nipo gereji local ya mtaani), pia nakuwa interested sana na hii fani kiasi kwamba natamani niingie deep zaidi kwenye mambo ya immobilizer, key programming, ECU n.k
Naulizia kama naweza pata chuo ambacho naweza pata ujuzi wa ndani kabisa lakini isiwe nje ya Afrika Mashariki au kama naweza pata mahali au mtu akaninoa kwenye taaluma hii (kama kuna mtu mtaalamu ambaye yupo tayari kunitrain mpaka nikaiva nipo tayari kumlipa ada)
Asanteni, naomba kuwasilisha
Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya diagnosis kutoka China Aina ya Launch X431 V+ na nikaanza kazi ya diagnosis kama extra coz bado nipo nafanya kazi chini ya fundi.
Katika ufanyaji kazi wangu kuna mahala nakutana na changamoto ambazo inakuwa ni ngumu sana kuzitatua na Kuna muda makosa mtu wa kunielekeza kwa usahihi (ukizingatia nipo gereji local ya mtaani), pia nakuwa interested sana na hii fani kiasi kwamba natamani niingie deep zaidi kwenye mambo ya immobilizer, key programming, ECU n.k
Naulizia kama naweza pata chuo ambacho naweza pata ujuzi wa ndani kabisa lakini isiwe nje ya Afrika Mashariki au kama naweza pata mahali au mtu akaninoa kwenye taaluma hii (kama kuna mtu mtaalamu ambaye yupo tayari kunitrain mpaka nikaiva nipo tayari kumlipa ada)
Asanteni, naomba kuwasilisha