Nahitaji kuwasiliana na makampuni ya kuagiza hardware toka nje ya Tanzania

Nahitaji kuwasiliana na makampuni ya kuagiza hardware toka nje ya Tanzania

RaptorEagle

New Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Nahitaji kuwasiliana na kampuni zilizo sajiliwa na zenye ofisi Tanzania, ambazo zina uwezo na uzoefu wa kuagiza electrical, mechanical na instrumentation equipment and parts. Kampuni iwe na uwezo uzoefu wa kuagiza baada ya kupata order toka kwangu, kusafirisha, clearance, na ku deliver Tanzania, kutoka USA, Canada, Western Europe yote, Australia, New Zealand, South Africa, Brazil, South Korea, Japan. Tutajadiliana kuhusu terms and conditions. DM for further discussions.
 
Back
Top Bottom