You have a point, nilikuwa sijafikiria hii hali!Naomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyangofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo
Yanaingiza mbu inbetwwen kioo na nyavu yakiwa yamefunguliwa sina hamu nayoNaomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyangofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo
ya kise nge sana ayo madirisha, inanibidi kila day nikumbuke kuyafunga kabla ya saa 11 jioni, la sivyo mbu wote wako ndani
Duuh mkuu ukiyafunga humo ndani mnakaaje?? Mimi nimeopt kuyaongezea nyavu hapo kati ambapo mbu wanapitaya kise nge sana ayo madirisha, inanibidi kila day nikumbuke kuyafunga kabla ya saa 11 jioni, la sivyo mbu wote wako ndani
Kuna fundi alinijibu hawawezi ndo yalivyodesigniwani mazuri ila kero yake ni hiyo. Hivi wakati wa kufunga hakuna namna ya kuya-design kudhibiti mbu kupenya?
Hii ya bawaba si ndiyo ule mfumo wa zamani? Nimeshindwa kupata mafundi! Kama Kuna fundi unamjua nipe connection nimsililize tafadhali.Faida zake
1.gharama nafuu
2.yanavutia
Kufunguka ni vile wewe unataka. Unaweza kuweka yanayofunguka kwa bawaba. Pia unaweza kuweka ukubwa uutakao kupunguza joto.
Mkuu me Ni fundi alluminium nipo dar es salaam. Nimeona madirisha yako ukitaka kuweka madirisha ya alluminium inawezekana.Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.Mkuu me Ni fundi alluminium nipo dar es salaam.Nimeona madirisha yako ukitaka kuweka madirisha ya alluminium inawezekana.
Fundi wako hakuwa mzuri
This case haikua kwangu tu nimeiona sehemu nyingi wenye haya madirishaFundi wako hakuwa mzuri
Basi mimi nina bahati sijawahi kupata hilo tatizo
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
Ok, nimekuelewa kitalamu hayo madirisha ya kufunguka kwa nje tunaita OPEN WINDOW. Kwa mawasiliano zaid nipigie no; 0652299341Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne?Nafasi hiyo Alluminium haitoshi....nicheki hapa tupige urembo wa dirisha na tuweke Aluminium kwa bei ya kizalendo na Aluminium itakaa fresh 0789005562
Na bei za Aluminium ni hizi
Bei za aluminum ni kulingana na ukubwa wa dirisha
4*4=170000
4*5=200000
5*5=230000
5*6=260000
6*6=280000
Hii ni pamoja na Kuliweka kabisa! Karibu chief...Tupo Temeke Dsm
Simu 0789 005562
Kwa sample za kazi Njoo kwa wasap kwa namba hiyo juuView attachment 1682100View attachment 1682101View attachment 1682103
Hoja yake ya joto la Dar na umeme kukatika hujamjibu...Faida zake
1.gharama nafuu
2.yanavutia
Kufunguka ni vile wewe unataka. Unaweza kuweka yanayofunguka kwa bawaba. Pia unaweza kuweka ukubwa uutakao kupunguza joto.
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne
Mara nyingi kazi za mikoan huwa tunafanyia huko huko site mkuu, Kwa madirisha yako 5*5 ntakufanyia kwa 210000 tukifanyia hapo site, Ila tukifanyia ofisin nakuyaleta n 240000 mkuuMtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne?
Haya madirisha kiukweli yanataka uwe na AC plus standby generator ili yawe yanafungwa all the time na kwa joto la Dar AC full kipupwe... Short of that ni shidaaa....Nafungua saa 3 usiku, wanakua wamepungua kidogo, japo ndani ni mwendo wa kupulizia dawa daily, ni ya kero sana
Labda ukisoma vizuri utaona jibu.Hoja yake ya joto la Dar na umeme kukatika hujamjibu...