Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Kuna haya mazao hapa
Embu naombeni mawazo wadau. Kuna amefanikiwa kulima hayo mavitu?
Nimetafiti kidogo ni mazao ambayo yanahitaji kuwa na subira mfano Almonds na Macadamia inahitaji mpaka miaka 12 ili ianza kuzaa, Casheq inahitaji kama 4 years hivi.
Kwa mahesabu ya haraka haraka ukiwa na hekari kama 10 tu in the next 15 years unaweza ukawa una make pesa nyingi sana kwa kila mwaka.
Nataka kujilipua ila naomba ushauri kwanza.
Asanteni
- Almonds
- Macadamia
- Cashew nuts
- Palm
Embu naombeni mawazo wadau. Kuna amefanikiwa kulima hayo mavitu?
Nimetafiti kidogo ni mazao ambayo yanahitaji kuwa na subira mfano Almonds na Macadamia inahitaji mpaka miaka 12 ili ianza kuzaa, Casheq inahitaji kama 4 years hivi.
Kwa mahesabu ya haraka haraka ukiwa na hekari kama 10 tu in the next 15 years unaweza ukawa una make pesa nyingi sana kwa kila mwaka.
Nataka kujilipua ila naomba ushauri kwanza.
Asanteni