Augustking
Senior Member
- May 25, 2019
- 118
- 188
Habari? Nipo Dar nahitaji line ya safaricom niitumie kuconnect na paypal. Kwa ambae anauza naomba tuwasiliane
WhatsApp +255759702766
Call: +255769931891
WhatsApp +255759702766
Call: +255769931891
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka unaweza ukanisaidia exactly location? Na siku za jumapili anakuwepo?Kariakoo na Livingstone kariakoo kuna wakala wa Safaricom pale
Ukifika hio Corner kuna jamaa wanauza chips ukikata tu kona kama unaenda lumumba utaona kiduka kidogo na kibango kwa nje kumeandikwa wakala safaricom...Kaka unaweza ukanisaidia exactly location? Na siku za jumapili anakuwepo?
Hio ndio nzuri meanz nitapata lain yenye detailz zangu kabisa .je chief hebu nijuze nikiwa na hii chip nitaweza fanya deposit kwa 1xbet na kuwithdraw kama ni yes app itabidi nipakue ya kenya orKariakoo na Livingstone kariakoo kuna wakala wa Safaricom pale
Mkuu wanakusajili kwa details zako au tayari wana chip zilizosajiliwaUkifika hio Corner kuna jamaa wanauza chips ukikata tu kona kama unaenda lumumba utaona kiduka kidogo na kibango kwa nje kumeandikwa wakala safaricom...
Sifahamu kama wapo jumapili.
Hio ndio nzuri meanz nitapata lain yenye detailz zangu kabisa .je chief hebu nijuze nikiwa na hii chip nitaweza fanya deposit kwa 1xbet na kuwithdraw kama ni yes app itabidi nipakue ya kenya or
Sifahamu labda nikipita niulizie, ila sidhani kama wanaweza kukusajilia kwa details za Tanzania, huku Safaricom ina Roam tu, detAils zinabidi ziwe za Kenya.Mkuu wanakusajili kwa details zako au tayari wana chip zilizosajiliwa
mkuu ninatumia ttcl kwnye dataSifahamu labda nikipita niulizie, ila sidhani kama wanaweza kukusajilia kwa details za Tanzania, huku Safaricom ina Roam tu, detAils zinabidi ziwe za Kenya.
Ina maana TTCL wamelipia Roam ya 3G tu, hawajalipia ya 4G.mkuu ninatumia ttcl kwnye data
nikiwa mjini napata 4g nzuri tu equivalent ya 40-25mbps download
ila nikishatoka mjini mtandao unasoma Roam( h+)
sasa nijuavyo hyo roam ina maana mtandao mmoja unatumia mtandao mwingine kupata access ya data pale wenyewe unaposhindwa
swali langu ni kwamba hyo roam haiwez kuwa 4g ??
maana hapa nilipo tigo, voda, halotel, airtel napata 4g+ , speed mpaka 60mbps download kwa mitandao yote hyo niliyotaja
lakini hii ttcl inaishia tu roam ya h+
Ama roaming huwa inaishia 3g tu haiwezi vuka mpaka 4g??
location Niko moshi sowote
device nayotumia, ni Samsung note 9.
kwnye network operatorIna maana TTCL wamelipia Roam ya 3G tu, hawajalipia ya 4G.
Ili kupata uhakika weka mtandao uwe 4G only, switch network mode kwenda manual, halafu search halafu jaribu mtandao mmoja mmoja kwa 4G kama utakubali.
Ukimaliza rudisha network Auto.
Basi TTCl wenyewe ndo wameamua hivyo mkuu.kwnye network operator
manual inazingua.
Roam? maana yake nini mkuuSifahamu labda nikipita niulizie, ila sidhani kama wanaweza kukusajilia kwa details za Tanzania, huku Safaricom ina Roam tu, detAils zinabidi ziwe za Kenya.
Mtandao mmoja kutumia mnara wa mtandao mwengine kukupa Network.Roam? maana yake nini mkuu
Vizur Sana safaricom na 1xbet inafanya kaz Ila ukitaka usajiliwe na datel zako hakikisha unapasport na usajilie kenyaHio ndio nzuri meanz nitapata lain yenye detailz zangu kabisa .je chief hebu nijuze nikiwa na hii chip nitaweza fanya deposit kwa 1xbet na kuwithdraw kama ni yes app itabidi nipakue ya kenya or
Chief-Mkwawa Hivi hawa wakala bado wapo?Ukifika hio Corner kuna jamaa wanauza chips ukikata tu kona kama unaenda lumumba utaona kiduka kidogo na kibango kwa nje kumeandikwa wakala safaricom...
Sifahamu kama wapo jumapili.
Mdau wa mwisho alinipa feedback hawasajili line, wapo ila wanatumia tu pesa.Chief-Mkwawa Hivi hawa wakala bado wapo?
Asante kwa feedback mkuu. Asante sanaMdau wa mwisho alinipa feedback hawasajili line, wapo ila wanatumia tu pesa.