KAPIRIPIRI
Member
- May 24, 2011
- 31
- 9
Mimi ni mjasiliamali mwenye kutambuliwa na mamlaka husika nchini.Kuna investment ya haraka nataka kuifanya, Itagharimu milioni mbili, tayari nina milioni moja na nusu, nahitaji mtu wa kunikopa laki 5, itarejeshwa baada ya mwezi mmoja.Tutakubaliana juu ya riba na dhamana.Naomba maoni yenu au directives.Sitaki urasimu wa benk zetu hapa nchini.Tusaidiane jamani.
JF siyo saccos, hapa ni mijadala tu kwa kwenda mbele!
Join Date : 24th May 2011
Posts : 3
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
Mimi ni mjasiliamali mwenye kutambuliwa na mamlaka husika nchini.Kuna investment ya haraka nataka kuifanya, Itagharimu milioni mbili, tayari nina milioni moja na nusu, nahitaji mtu wa kunikopa laki 5, itarejeshwa baada ya mwezi mmoja.Tutakubaliana juu ya riba na dhamana.Naomba maoni yenu au directives.Sitaki urasimu wa benk zetu hapa nchini.Tusaidiane jamani.