Mwezeshaji1
Member
- Sep 26, 2023
- 69
- 124
Leta pics za mjengo Mkuu. Bila pics huu uzi utakuwa batili. Au nasema URONGO wajameni?Acheni jamani,
Naumwa...
Haa jamani mbona hivyo? Hajasema kwa ubaya hata.We sema ulitaka umma ujue umejenga
Eti nimechoka tangu mwaka jana unajenga
Kwa hiyo leo ndiyo umepumzika?
Mnafiki wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mweh 🤣We sema ulitaka umma ujue umejenga
Eti nimechoka tangu mwaka jana unajenga
Kwa hiyo leo ndiyo umepumzika?
Mnafiki wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ili muanze kuukosoa mjengo wake? Si unaijua mijengo ya wasomi wetu ilivyo shapeless?Huu uzi ungeusindikiza kwa picha ingekua poa sana
Mbona sioni nyumba yenyewe? Au umejenga ndotoni?Acheni jamani,
Naumwa.
Yani nina kama burn out fulani, hata siwezi kupokea simu za watu.
Ujenzi unachosha sio tu mfuko, na wewe pia unayesimamia unachoka hovyo kabisa.
Nilianza mwezi wa saba mwaka jana, na mwezi huu nimemaliza. Utukufu kwa MUNGU Mkuu.