Torino Fc Member Joined Dec 22, 2015 Posts 64 Reaction score 34 Feb 26, 2016 #1 Habari waungwana! Npo mkoani Lindi nmetembea nikagunduwa kuna baadhi ya maeneo hayana huduma za mpesa watu wanazifuata mbali,naomba muongozo nawezaje kuipata line ya mpesa na inanihitaji kuwa na Tsh na mambo gani.Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Habari waungwana! Npo mkoani Lindi nmetembea nikagunduwa kuna baadhi ya maeneo hayana huduma za mpesa watu wanazifuata mbali,naomba muongozo nawezaje kuipata line ya mpesa na inanihitaji kuwa na Tsh na mambo gani.Natanguliza shukrani za dhati kwenu
zegamba180 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 820 Reaction score 541 Feb 26, 2016 #2 nicheki kwa 0714888689
K KIJONGA JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 457 Reaction score 374 Feb 26, 2016 #3 0654879476 ndo jibu la swali lako,,,
Jeff Albert Senior Member Joined Jul 19, 2015 Posts 136 Reaction score 37 Feb 28, 2016 #4 Nicheki 0717723752 utapata