Nahitaji location nzuri yenye mzunguko kwa biashara ya stationary

Nahitaji location nzuri yenye mzunguko kwa biashara ya stationary

Siwamilele

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2019
Posts
288
Reaction score
730
Wakuu poleni na purukushani za kujitafutia mkate wa kila siku.

Kwa mwenye kufahamu wapi nikifungua biashara tajwa hapo juu naweza kupata mzunguko mzuri?

Tafadhari share nami location nikapambane mwenzenu, maana hapa nilipo hainilipi kabisa.

Napendekeza iwe mkoa wa Morogoro au Pwani. Hata hivyo usiache kuniambia sehemu nyingine yoyote ambayo iko poa kwa biashara hiyo kwa faida yangu na kwa faida ya wote.

Asanteni.
 
Stationery tafuta jirani na chuo. Kwingine kwote ni faida ndogo sana sana.

Kwahiyo angalia kwa Moro vyuo gani unaweza kuingia? SUA, Muslim, Ifakara Health Institute, Mzumbe, Jordan?

Kwa Pwani sasa Marian au Kaole Agriculture College Bagamoyo, Kibaha Clinical Officers, Excellent College of Health Kibaha, etc.

Ukienda jaribu huduma Printing, Copy, Passport, laminating, kuandaa vitabu vya final (project/research), typing etc

Na kuuza baadhi ya vitu kama notebook, pen, Mpesa etc.

Maisha ni kutafuta. All the Best.
 
Noted.
Stationery tafuta jirani na chuo. Kwingine kwote ni faida ndogo sana sana.

Kwahiyo angalia kwa Moro vyuo gani unaweza kuingia? SUA, Muslim, Ifakara Health Institute, Mzumbe, Jordan?

Kwa Pwani sasa Marian au Kaole Agriculture College Bagamoyo, Kibaha Clinical Officers, Excellent College of Health Kibaha, etc.

Ukienda jaribu huduma Printing, Copy, Passport, laminating, kuandaa vitabu vya final (project/research), typing etc

Na kuuza baadhi ya vitu kama notebook, pen, Mpesa etc.

Maisha ni kutafuta. All the Best.
 
Hata mtaani unafanya hii biashara ua eneo ambalo hamna biashara kama hiyo ila kama ndpblwanza umeanza utapitia phase ngumu kidogo phase hiyo inaitwa SEARCH YOUR BRAND. Yaani JITAFUTE kwa maana ya HAPO HAPO ULIPO TENGENEZA JINA LAKO KWA NAMNA UTAKAVOTOA BIASHARA
 
Back
Top Bottom