Nahitaji Lyrics ya ngoma ya Godzilla ft G. Nako 'Kila wakati'

Nahitaji Lyrics ya ngoma ya Godzilla ft G. Nako 'Kila wakati'

Wakuu habari za muda huu, Poleni na majukumu. Msaada tafadhali.

Nahitaji Lyrics ya ngoma ya Godzilla ft G.Nako_KILA WAKATI.

Nimetafuta sana,saana,sana. Mwenye nayo plz,Huko youtube nimetafuta sana bila mafanikio. Asanteni.

Forgive me.
Jioni nikipata time ntaziandika...

Kionjo...

Kujua muziki homie that's not enough
Ukishindwa Rudi Matawi ya Chini omba tafu
 
Wakuu habari za muda huu, Poleni na majukumu. Msaada tafadhali.

Nahitaji Lyrics ya ngoma ya Godzilla ft G.Nako_KILA WAKATI.

Nimetafuta sana,saana,sana. Mwenye nayo plz,Huko youtube nimetafuta sana bila mafanikio. Asanteni.

Forgive me.
Mbona Ile ngoma inaeleweka vizuri, lyrics za nini wakti mistari ina sikika vyema
 
Godzilla ft. G Nakko - Kila Wakati (Lyrics)

Intro Bridge:

Kila wakaaaati (MJ Recoords)
Kila wakaaaati (Dakso Chali)

Verse 1 (Godzilla) :

Kujua mziki hommie that's not enough,
Ukishindwa rudi matawi ya chini omba upigwe tafu,
Discipline kua nayo maintain aisee,
Ukileta kiburi upewe kaburi yaan ubalo-self,
Masikani kwa amani mi na-meditate,
Rule namba moja simpo usi-complicate,
Mtaani hakuna Chuo tuna-graduate,
Ukinipa njia moja ya Maisha mi nai-duplicate,
Mnyonge naye anaishi km tough guy,
Namwambia tough guy,
I'm happy for you tough guy,
Nakupa advance ya goodbye to you,
Kwa saabu najua what next gonna happen to you,
Fanya move za biashara stop delaying,
Noh,
Check hawacheki na wewe stop playing,
Leo mko safi full story,
Kesho wanafunga chapter yako end of the story.

Chorus (G Nakko) :

Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema
Mungu ni Mwema
Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema

Kiiiila wakati

Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema
Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema

Verse 2 (Godzilla) :

Yeah,
Nacheck Video ya bahari kutoka double tree,
Fanya yote hommie it is not easy to be me,
Kikosi cha maangamizi Dakso M twenty three,
Regrown wa rap hommie I am MVP,
Hauoni fursa za hela una blindness,
I'mma gangster man Aneth wewe ndio my business,
Ukileta umbeya itakula kwenu,
Majina ya wazushi kibao list on the menu,
Nafuta maumivu nakumbuka Old time,
Wakisema God is Good najibu all the time,
Tuwape ukarimu watu wa vidole kwa trigger,
Fred is my hommie my day one nigger,
Tulianza Ghetto huku tukiwaza Bangalore,
Leo napokea simu ya Joe Makini toka Ngarelo,
Tumeanza mziki Ghetto tukilala kwenye floor,
Sahivi tukiamka asubuhi ni supu ya Kanga luh!

Chorus (G Nakko)
:

Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema
Mungu ni Mwema
Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema

Kiiiila wakati

Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema
Kila wakati
Kila wakati
Kila wakati
Mungu ni Mwema

Made with love by Me BUKU 1 800
RIP Godzilla (ZIZI) -Rest In Paradise Bro
16110870_1382334191816916_6875872659528220672_n-3356241798.jpg


View: https://x.com/jmkikwete/status/1095782049246531584?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1095782049246531584%7Ctwgr%5Ece64defcbf3cd250ff6c312456b849a7e6cf53b2%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.jihabarishe.com%2Frip-godzilla-tanzanian-rapper-no-more-3281
 

Attachments

Back
Top Bottom