Nahitaji Mafundi wa Kufanya Skimming, kupiga rangi, kuweka Tiles, na gypsum

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,076
Reaction score
5,483
Nahitaji Mafundi Wa Kufanya Skimming, Kupiga Rangi, kuweka Tiles, Na Gypasum Decoration Kufanya Finishing, Kutengeneza Madirisha Ya Vioo Na Almunium, Kupiga Patition Note:

Wawe Dar
 
Nahitaji Mafundi Wa Kufanya Skimming, Kupiga Rangi, kuweka Tiles, Na Gypasum Decoration Kufanya Finishing, Kutengeneza Madirisha Ya Vioo Na Almunium, Kupiga Patition Note:

Wawe Dar
Dar maeneo gani kiongozi, mafundi wanamalizia kazi hapa kwangu wamefanya finishing nzuri ya plaster , wameskim vizuri na sasa wanaweka level na kumwaga mchanga wenye cement tayari kwa tiles , Mafundi wa Gypsum na urembo au decoration wamenifanyia kazi nzuri Sana. Ila nilikula hasara baada ya wale mafundi wa mwanzo kuniwekea blandering ya ajabu ilibidi nishushe mbao zote sebureni wanaume wa kazi wakafanya kitu kiziri najivunia Sana mafundi wangu. Najiandaa kuweka tiles ndaninya siku 3 zijazo

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Ungeweka na kapicha tuone kazi za hao mafundi
 
Mafundi wa mwanzo waliharibu sana kila nikiwapa ramani wanaharibu , nikashusha uchafu wao wote chini, leo napata jeuri ya kupiga picha na kutupia humu.

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Asante kiongozi, urembo ni muhimu pamoja na taa zake za gypsum, vijana Kwa sasa wanapiga tiles wakimaliza hilo ndilo zoezi linalofata. nipe Location yako kama uko Dar.

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app

Kariakoo
Au unaweza kupiga 0743903300

Kwa maelezo zaidi
 
Nahitaji Mafundi Wa Kufanya Skimming, Kupiga Rangi, kuweka Tiles, Na Gypasum Decoration Kufanya Finishing, Kutengeneza Madirisha Ya Vioo Na Almunium, Kupiga Patition Note:

Wawe Dar
muone shirima ujenzi bora..check facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…