E Erick11 Member Joined Jun 1, 2024 Posts 22 Reaction score 39 Jul 6, 2024 #1 Habari za majukumu, Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar. Nahitaji gunia kuanzia 5 na zaidi kila baada ya siku 2. 0658644485 kwa mawasiliano zaidi
Habari za majukumu, Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar. Nahitaji gunia kuanzia 5 na zaidi kila baada ya siku 2. 0658644485 kwa mawasiliano zaidi
C Cute shy JF-Expert Member Joined Apr 27, 2015 Posts 1,189 Reaction score 1,292 Jul 6, 2024 #2 Namjua analima bamia ana greenhouse
Mr simple M JF-Expert Member Joined Sep 18, 2020 Posts 2,202 Reaction score 4,653 Jul 7, 2024 #3 Unanunua sh ngapi kwa ndoo kubwa maana ndiyo kipimo chetu
Thebroker JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 3,334 Reaction score 5,829 Jul 7, 2024 #4 Yericko Nyerere
zyuho JF-Expert Member Joined Jun 12, 2019 Posts 220 Reaction score 348 Jul 8, 2024 #5 Unanunuaje kwenye ndoo kubwa mkuu
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jul 8, 2024 #6 Kila la kheri mkuu Cc Smart911