Habari za majukumu,
Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar.
Nahitaji gunia kuanzia 5 na zaidi kila baada ya siku 2.
0658644485 kwa mawasiliano zaidi