MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Habari,
Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki).
Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe.
Location: Kibaha(Boko-Mnemela).
Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa mazungumzo. Pia tutaandikishana mkataba baada ya maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi karibuni PM.
Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki).
Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe.
Location: Kibaha(Boko-Mnemela).
Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa mazungumzo. Pia tutaandikishana mkataba baada ya maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi karibuni PM.