Nahitaji maharage ya njano(gololi) na mahindi (yale mazito)

Nahitaji maharage ya njano(gololi) na mahindi (yale mazito)

MOSintel Inc

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2016
Posts
817
Reaction score
593
Habari,

Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki).
IMG_20180716_104455~2.jpg


Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe.
images (23)~2.jpeg


Location: Kibaha(Boko-Mnemela).

Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa mazungumzo. Pia tutaandikishana mkataba baada ya maelewano.

Kwa mawasiliano zaidi karibuni PM.
 
Back
Top Bottom