MOSintel Inc JF-Expert Member Joined Mar 24, 2016 Posts 817 Reaction score 593 Mar 10, 2022 #1 Habari, Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki). Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe. Location: Kibaha(Boko-Mnemela). Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa mazungumzo. Pia tutaandikishana mkataba baada ya maelewano. Kwa mawasiliano zaidi karibuni PM.
Habari, Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki). Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe. Location: Kibaha(Boko-Mnemela). Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa mazungumzo. Pia tutaandikishana mkataba baada ya maelewano. Kwa mawasiliano zaidi karibuni PM.
Doubleg Malafyale JF-Expert Member Joined Feb 17, 2017 Posts 2,733 Reaction score 3,561 Mar 10, 2022 #3 Ungeweka na offer yako pia
MOSintel Inc JF-Expert Member Joined Mar 24, 2016 Posts 817 Reaction score 593 Mar 10, 2022 Thread starter #4 Aslan127 said: Nimeshakucheki pm Click to expand... Karibu mkuu, nimekuona.
MOSintel Inc JF-Expert Member Joined Mar 24, 2016 Posts 817 Reaction score 593 Mar 10, 2022 Thread starter #5 Doubleg Mwamasangula said: Ungeweka na offer yako pia Click to expand... Mkuu, karibu PM tuyajenge .
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 10, 2022 #6 All the best
Grich-fx New Member Joined Apr 3, 2022 Posts 1 Reaction score 0 Apr 3, 2022 #7 Naweza pata tani 2 hadi tatu za mahindi kwa wiki