bintimrembo
Member
- Jul 11, 2018
- 30
- 79
Ukisoma post yangu, nimesema kuna memba amaeniambia nisikate tamaa kwhyo hii n ya mwisho
Una nongwa gani na sisi wanaume weupe/maji ya kunde? Sasa kama unamtaka mwanaume mweusi si unaweza kupata mtu ambaye mkiwa wote chumbani usiku, anaonekana meno tu 🌚!!Hi,
Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.
- Mimi ni mwanamke nina miaka 29
- Naishi DSM
- Elimu certificate
- Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo fulani Dodoma nimeenda kujiendeleza (hapa nakazia tayari nimeshaajiriwa)
Vigezo vyangu:
1. Mnene kiasi
2. Mwalimu wa Primary
Vigezo vya mwanaume:
1. Awe mweusi
2. Elimu hata chuo sawa
3. Umri 32-40
4. Awe anajishuhurisha yaani ajiajiri ama ameajiriwa fine
5. Aishi DSM pia anivumilie kwani nitakuwa nasoma pia
Karibu inbox
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Whaaat???Ningekuwa sijaoa hii ilikuwa fursa ...........haswaaaa mwalimu........walimu wanajua kupenda Sana .......yaaani ni wakarimu balaaaaaaa harafu sio malaya
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Whaaat???
Ningekuwa sijaoa hii ilikuwa fursa ...........haswaaaa mwalimu........walimu wanajua kupenda Sana .......yaaani ni wakarimu balaaaaaaa harafu sio malaya
Hebu ngoja nijaribu bahati yanguHi,
Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.
- Mimi ni mwanamke nina miaka 29
- Naishi DSM
- Elimu certificate
- Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo fulani Dodoma nimeenda kujiendeleza (hapa nakazia tayari nimeshaajiriwa)
Vigezo vyangu:
1. Mnene kiasi
2. Mwalimu wa Primary
Vigezo vya mwanaume:
1. Awe mweusi
2. Elimu hata chuo sawa
3. Umri 32-40
4. Awe anajishuhurisha yaani ajiajiri ama ameajiriwa fine
5. Aishi DSM pia anivumilie kwani nitakuwa nasoma pia
Karibu inbox
Futa hiyo sehemu mkuu. Labda Kama unaongelea walimu wa nchi nyingine siyo Tanzaniamwalimu........walimu wanajua kupenda Sana .......yaaani ni wakarimu balaaaaaaa harafu sio malaya