MwanzoMwisho
Member
- Aug 11, 2009
- 34
- 0
Mwenye majogoo ama taarifa yoyote ntakapoweza pata majogoo aina ya white leghorn tujulishane tafadhali.
Mwenye majogoo ama taarifa yoyote ntakapoweza pata majogoo aina ya white leghorn tujulishane tafadhali.
Mkuu Kama ni Majogoo wa mbegu unatakiwa kutafuta white Leghorn F1 kitu ambacho najua Tanzania hakuna mwenye F1 unayo taka wewe unakuta yameisha crosiwa na yenyewe yamepatikana kwa crosing hivyo hayawezi kuwa ya mbegu. Hivyo kama uko vizuri ni ku import kutoka nje vifaranga wake.