Nahitaji Majogoo ya Kisasa ili Nipate Vifaranga Chotara

Nahitaji Majogoo ya Kisasa ili Nipate Vifaranga Chotara

wikolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
800
Reaction score
271
Habari wakuu,
Nahitaji majogoo wa kisasa ili wapande kuku wa kienyeji kupata vifaranga chotara. Kwa mwenye nao hasa maeneo ya Mwanza anijulishe tafadhali ili niweze kununua kutoka kwake.
 
Back
Top Bottom