Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,066
Kweli we msomi hewa kama lilivo jina lako.....tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu
Kesho natarajia kwenda hospital kuchekiwa macho nahisi yana shida,
kwa sababu kila nikifungua wallet sioni kitu.
MUNGU AWABARIKI SANA.
Kwanini mkuu?Kweli we msomi hewa kama lilivo jina lako
Ha ha pengine na wallet yako jewa[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4].....tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu
Kesho natarajia kwenda hospital kuchekiwa macho nahisi yana shida,
kwa sababu kila nikifungua wallet sioni kitu.
MUNGU AWABARIKI SANA.
......Labda itabidi niongee na mkuu wa kaya aliangalie hilo!Ha ha pengine na wallet yako jewa[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]......Labda itabidi niongee na mkuu wa kaya aliangalie hilo!
[emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha nimecheka kwa nguvuHuo ugonjw ni mbaya sana, unaitw magufulcytosis. Wahi hosptali mapema iwezekanavyo
Upo mamaa..