π π πNa mimi natafuta wa kuchat nae
Kwa wewe nitakuwepo hapaNa mimi natafuta wa kuchat nae
π π π
Hebu subiri mdogo wangu,
chaliifrancisco hivii upo serious na mahusiano yako kweli???
Kwa wewe nitakuwepo hapa
Aaaah kwetu mwisho kuchat saa nne tunaenda kupata kachasa kwa barHahaha tuchat
haha linahbaby mi nishakuPm bana[emoji12]Bado uamini
Aaaah kwetu mwisho kuchat saa nne tunaenda kupata kachasa kwa bar
tunaweza kuchati hapa hapa na tukawa marafiki bila kufika huko pm. Vipi huku unawafanyia interview?Niko fasta sana kujibu na kila mtu namjibu wala aita kuwa kama unavo fikilia[emoji5]
GeitaSehem gan mkuu
Habari zenu mimi ni dada nina miaka 24 niko mwanza naitaj marafiki wa kuchat nao na kubadilisha mawazo ukiwa tyr ni PM
Kwenu huko tanzania wanakamata kwa kusema ni pombe haramuBasi kesho asubuhi nitakucheki ili tuchat hadi saa nne
Kachasa ndio nini?
Sawa mkuuBasi kesho asubuhi nitakucheki ili tuchat hadi saa nne
Kachasa ndio nini?
ππππAlafu tukutumie nauli uingie mitin...