Sio ubaguzi, ila kwakuanzia nimeona tuanze na hiyo mikoa kutokana na sababu za kuanzishwa group hili.acha ubaguzi wa mikoa.
karibu mkuuPoa poa mkuu
please tuma number zako za simu na email adress via PMNamba zangu whatsup ni 0719305913 nitafute tujuzane
kam upo maeneo tajwa unaruhusiwa ila si kwamba uko huko kutembea.Unataka shule bila malipo? Watu wa mikoa uliyoikataa walioko mikoa iliyoitaja wanaruhusiwa?
Vipi hutaki MUME?
mhh!!! makubwa. Ngoja nikae pembeni mimi mmakonde......:embarrassed:
- Mwisho watoke kwenye mikoa ifuatayo
Karibuni wote na hii ni kwa jinsia zote.
- Arusha
- Iringa
- Mbeya
- Morogoro
- Mwanza
- Dar es Salaam.
- Dodoma
Unachotakiwa ni kuni-PM jina,email na number zako za simu then tuangalie jinsi ya kuunga hii network kwa kuanzia tu tutajiunga kwa emails na kisha Whatsup.
Mamndenyi in support of regionalism & tribalismMweee, sijui nimechelewa?
Ngoja niende PM.