baby Sarah
Senior Member
- Nov 16, 2017
- 138
- 137
Family and friends are hidden treasure ,seek them and enjoy their riches
WaleteWachukue
Unatumia kinywaji gani mleta mada...
Soda, juice hunywi?Maji tu ndugu
I am here for you friend
Tunayabadilishia hapa hapa hayo mawazo?
Soda, juice hunywi?
Dah! Yani wewe huna gharama... Wewe ndio unafaa kutolewa outing!Hapana, maji tu
I will be thereThanks friend and welcome pm
Dah! Yani wewe huna gharama... Wewe ndio unafaa kutolewa outing!
Niliwahi kuwatoa wadada flani outing, wacha waanze kuagiza mavinywaji ya gharama! Zile chupa za elfu hamsini, mwingine ya laki! Nikaenda chooni bwana. Si wakajua nakimbia bili. Kurudi nakuta wameyarudisha na wameagiza Soda. Nikasema hapa sasa tutakwenda sawa!
najaribu kukutumia inagoma, hata kuview profile yako inakataaThanks friend and welcome pm
najaribu kukutumia inagoma, hata kuview profile yako inakataa