Car4Sale Nahitaji Mark X

SANGA ONE

Senior Member
Joined
Jul 7, 2012
Posts
125
Reaction score
28
Habari za mchana wakubwa,

Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million.

Asante na karibu kwa kuchangia kama huna neno please pita kimya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…