Nahitaji Mashamba Njombe or Iringa, Babati or Mbulu

Nahitaji Mashamba Njombe or Iringa, Babati or Mbulu

Basham

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2014
Posts
743
Reaction score
434
Wasaalam Wana Jamvi,

Kama heading inavosomeka nmeamua kujikita katika kilimo musimu ujao na maeneo yanayonivutia ni hayo niliyoyataja hapo juu
Babati, Mbulu, Njombe na Iringa ni Sehemu ambazo zinapata mvua mwaka mzima na kilimo cha maeneo hayo sio cha msimu mmoja mwaka mzima ni full kulima na Kuvuna

Maombi yangu kwa mtu anaeweza kunipatia/ Kunisaidia kupata mashamba maeneo hayo ya kukodi itapendeza zaidi. Nahitaji hekari 20+

Natanguliza shukurani

Mungu abariki kazi ya mikono yetu
 
Njombe naweza nikakusaidia japo nikueleweshe kidogo, Njombe haipati mvua mwaka mzima kipindi cha mvua ni kuanzia October tar 21 za kuandaa mashamba na wale wanaolima vinyunguni yaani tunapanda kwa kumwagilia ndio wanaanza kupanda muda huo..Ila mashambani tunaanza kupanda mwezi November lakini , Mvua zinakuwa nyingi kuanzia November hadi April zinakata...mwezi May mahindi na maharage mabichi tunavuna ila makavu tunavuna June wengine hadi Julai...agost na September tunapumzika hakuna kulima October tunaanza kuandaa mashamba kwa ajili ya kupanda mwezi November...Hivyo ndio ufahamu wangu kuhusiana na Njombe maana nimekulia kule na shambani nimeenda sana
 
Wasaalam Wana Jamvi,

Kama heading inavosomeka nmeamua kujikita katika kilimo musimu ujao na maeneo yanayonivutia ni hayo niliyoyataja hapo juu
Babati, Mbulu, Njombe na Iringa ni Sehemu ambazo zinapata mvua mwaka mzima na kilimo cha maeneo hayo sio cha msimu mmoja mwaka mzima ni full kulima na Kuvuna

Maombi yangu kwa mtu anaeweza kunipatia/ Kunisaidia kupata mashamba maeneo hayo ya kukodi itapendeza zaidi. Nahitaji hekari 20+

Natanguliza shukurani

Mungu abariki kazi ya mikono yetu

Fanya research ya kutosha kabla hujaingia kwa hii industry!! Aliekudanganya kuwa babati, mbulu, njombe na iringa zinapata mvua mwaka mzima eti ni “full kulima na kuvuna” amekudanganya.

Maeneo yote uliyotaja nimefanikiwa kuishi na ninayajua vilivyo! Kusanya taarifa sahihi kabla hujaingia ili usijutie maamuzi yako!
Karibu sana!
 
Njoo tukuyu mbeya upate ukitakacho make uku mvua nyingi kama anga limetoboka hivi
 
Fanya research ya kutosha kabla hujaingia kwa hii industry!! Aliekudanganya kuwa babati, mbulu, njombe na iringa zinapata mvua mwaka mzima eti ni “full kulima na kuvuna” amekudanganya.

Maeneo yote uliyotaja nimefanikiwa kuishi na ninayajua vilivyo! Kusanya taarifa sahihi kabla hujaingia ili usijutie maamuzi yako!
Karibu sana!
Asantee mkuu kwa Maoni yako
 
Njoo tukuyu mbeya upate ukitakacho make uku mvua nyingi kama anga limetoboka hivi
Hahaha eti kama anga limetoboka, Nifanyie mpango mkuu mie kambi popote
 
Wasaalam Wana Jamvi,

Kama heading inavosomeka nmeamua kujikita katika kilimo musimu ujao na maeneo yanayonivutia ni hayo niliyoyataja hapo juu
Babati, Mbulu, Njombe na Iringa ni Sehemu ambazo zinapata mvua mwaka mzima na kilimo cha maeneo hayo sio cha msimu mmoja mwaka mzima ni full kulima na Kuvuna

Maombi yangu kwa mtu anaeweza kunipatia/ Kunisaidia kupata mashamba maeneo hayo ya kukodi itapendeza zaidi. Nahitaji hekari 20+

Natanguliza shukurani

Mungu abariki kazi ya mikono yetu
Njoo pm..
 
Njombe naweza nikakusaidia japo nikueleweshe kidogo, Njombe haipati mvua mwaka mzima kipindi cha mvua ni kuanzia October tar 21 za kuandaa mashamba na wale wanaolima vinyunguni yaani tunapanda kwa kumwagilia ndio wanaanza kupanda muda huo..Ila mashambani tunaanza kupanda mwezi November lakini , Mvua zinakuwa nyingi kuanzia November hadi April zinakata...mwezi May mahindi na maharage mabichi tunavuna ila makavu tunavuna June wengine hadi Julai...agost na September tunapumzika hakuna kulima October tunaanza kuandaa mashamba kwa ajili ya kupanda mwezi November...Hivyo ndio ufahamu wangu kuhusiana na Njombe maana nimekulia kule na shambani nimeenda sana
Ni kweli hakuna mvua mwaka mzima ila kuna mabonde mengi yana maji, mfano maeneo ya yakobi, mabindi, kifanya kuna maji teleunaweza kulima msimu wote, viazi vingi hulimwa kiangazi hasa mabonde ya mabindi, awe tu tiyari kwa suluba mana mifumo ya umwagiliaji ni ya kienyeji inasumbua.
 
Mbulu ni semi arid hakuna mvua nyingi na population pressure hamna ardhi
 
Back
Top Bottom