Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 434
Wasaalam Wana Jamvi,
Kama heading inavosomeka nmeamua kujikita katika kilimo musimu ujao na maeneo yanayonivutia ni hayo niliyoyataja hapo juu
Babati, Mbulu, Njombe na Iringa ni Sehemu ambazo zinapata mvua mwaka mzima na kilimo cha maeneo hayo sio cha msimu mmoja mwaka mzima ni full kulima na Kuvuna
Maombi yangu kwa mtu anaeweza kunipatia/ Kunisaidia kupata mashamba maeneo hayo ya kukodi itapendeza zaidi. Nahitaji hekari 20+
Natanguliza shukurani
Mungu abariki kazi ya mikono yetu
Kama heading inavosomeka nmeamua kujikita katika kilimo musimu ujao na maeneo yanayonivutia ni hayo niliyoyataja hapo juu
Babati, Mbulu, Njombe na Iringa ni Sehemu ambazo zinapata mvua mwaka mzima na kilimo cha maeneo hayo sio cha msimu mmoja mwaka mzima ni full kulima na Kuvuna
Maombi yangu kwa mtu anaeweza kunipatia/ Kunisaidia kupata mashamba maeneo hayo ya kukodi itapendeza zaidi. Nahitaji hekari 20+
Natanguliza shukurani
Mungu abariki kazi ya mikono yetu