Nahitaji mashine ya kukamua juice ya miwa

Nahitaji mashine ya kukamua juice ya miwa

Mikhail Tal

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
421
Reaction score
778
Habari wakuu nahitaji msaada wa kupata mashine ya kukamua juice ya miwa.

Nipo Dar es salaam kama kuna mtu unaweza kunielekeza zilipo kwa hapa Dar ntakushukuru sana

Au kama unaweza kunisaidia contacts za mahali nitapata hizo mashine.
 
Back
Top Bottom