AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 290
- 952
Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE ,
mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waone Sido Kigoma ndo kazi yao hiyoNahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE ,
mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
Karibu kwetu ujipatie mashine za kusaga na kukoboa boss tupo tabata namba yetu 0763542515Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE ,
mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
Hakuna iyo mashine kaka ya kusaga na kukoboa tani30 kwa siku 🤣🤣Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE ,
mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
Mkuu za sahizi, me nahitaji mashine ya kusaga saga sponji iwe ya kawaida TU mkuuKaribu kwetu ujipatie mashine za kusaga na kukoboa boss tupo tabata namba yetu 0763542515
Hakuna iyo mashine
Una uhakika hakuna mkuu? Kabla hujatoa ushauri usichokijua fanya tafiti kidogo mkuuHakuna iyo mashine kaka ya kusaga na kukoboa tani30 kwa siku 🤣🤣
Labda ukanunue zile za kichina ila za kibongo za kuchonga hapan haipo
Acha uongo bro hakuna hiyo mashine inayoweza kusaga mahindi gunia 300 kwa siku labda angesema tani 30 kwa siku nne au tano hiv tena asiwe na mshine moja ziwe hata mbili hiviiUna uhakika hakuna mkuu? Kabla hujatoa ushauri usichokijua fanya tafiti kidogo mkuu
Hapo hata kinu namba 75 kinasaga hizo tani mota hp 30 tu
Hizo za kuchina Kama anataka kulia miezi sita mingi sana acha akanunue
Ushauri wa bure baadhi ya biashara kabla hujaingia mtafute anayefanya hiyo biashara pata ABC au wataalamu wapo
Mwisho unahitaji mashine za Kusaga na Kukoboa 0763542515 tupo tabata
Bei ikojeKaribu kwetu ujipatie mashine za kusaga na kukoboa boss tupo tabata namba yetu 0763542515
Mwanza sehemu gani?