Nahitaji mashine ya ps4 Mwanza

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
479
Reaction score
727
Nahtaji mashina ya ps4 used, ikiwa mpya pia tutazungumza kama bei itakua rafiki kwangu.

Kwa aliyenayo nje ya Mwanza, nalipa baada ya kupokea machine pia isiwe na changamoto yoyote kuanzia pad zote adi machine yenyewe.

Nipo Mwanza.
0767911491
 
Uko wapi Mwanza sehemu gani, na bajeti yako bei gani
 
Mim mashine ninayo naitumia tu ndan kama upo seriously nitakuzia kwa laki 6 na 50 ikiwa full na pad zake nipo dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…